Aliyekuwa mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila (NCCR).
Mahakama Kuu Kanda ya Tabora yatupilia mbali Kesi ya kupinga matokeo ya uchaguzi iliyofunguliwa na aliyekuwa mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila (NCCR-Mageuzi) na kumpa ushindi Hasna Mwilima( CCM).
Kesi hii ilifunguliwa katika mahakama kuu kanda ya Tabora na kuwa chini ya Jaji Ferdinand Wambari.
Hasna Mwilima( CCM).
Katika kesi hii upande wa mlalamikaji (Kafulila) uliongozwa na mawakili Prof. Abdallah Safari, Tundu Lissu na Daniel Lumenyera, Ili hali upande wa mlalamikiwa (Hasna) uliongozwa na wakili Kennedy Fungamtama pamoja na Mawakili wa Serikali upande wa mwanasheria mkuu wa Serikali.
[1.6MB]VIDEO CHAFU YA WANACHUO WA UDSM YAVUJA IONE HAPO CHINI =>
UNGANA NASI FACEBOOK KWA KULIKE PAGE YETU
Chapisha Maoni