Featured
Loading...

CUF kuiomba ICC kuchunguza vitendo vya uhalifu dhidi ya binadamu vilivyofanywa na viongozi wakati wa uchaguzi wa Zanzibar

MAAJABU YA MTANDAONI BOFYA HAPO CHINI HUTAAMINI MACHO YAKO =>


Chama cha Wananchi CUF kimepanga kuiomba Mahakama ya Kimataifa uhalifu ICC kuanzisha uchunguzi dhidi ya viongozi wenye dhamana mbalimbali waliohusika kuchochea,kutoa na kusimamia maagizo yalipelekea makosa ya uhalifu wa kibinadamu yakiwemo yanayolenga wananchi na makundi ya watu.

Akizungumza katika uzinduzi wa ripoti ya uvunjani wa haki ya binadamu unaofanywa na vyoimbo vya dola dhidi ya wapinzani kwa mwaka 2015-2016, Naibu Katibu Mkuu wa CUF Zanzibar Bw.Nassor Mazrui amesema chama hicho baada ya kuzindua ripoti hiyo  kimepanga kuchukua hatua tano ikiwemo pia kufungua kesi katika Mahakama Kuu Tanzania dhidi ya Waziri wa mambo ya ndani ya nchi na Mkuu wa Jeshi la Polisi kwa ukiukwaji wa haki za binadamu.
Ripoti ya uvunjaji wa haki ya binadamu unaofanywa na vyombo vya dola dhidi ya wapinzani kwa mwaka 2015-2016,imeonyesha katika kipindi hicho watu 300 waliwekwa rumande,watu 200 walijeruhiwa,watu 13 kudhalilishwa kijinsia ambapo watu zaidi ya 70 walivunjiwea majengo,watu 3 walipata ulemavu kutokana na matukio hayo na 40 walihama makazi yao kukimbia vurugu za jeshi la Polisi.
[1.6MB]VIDEO CHAFU YA WANACHUO WA UDSM YAVUJA IONE HAPO CHINI =>

UNGANA NASI FACEBOOK KWA KULIKE PAGE YETU

[1.6MB]HIZI NDIZO NJIA RAHISI ZA KUMRIDHISHA MSICHANA WAKO ZIONE HAPO CHINI =>

Chapisha Maoni

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright MFUKUNYUZI | Designed By Code Nirvana
Back To Top