Featured
Loading...

TCRA imetoa adhabu hii kwa Clouds TV baada ya kurusha kipindi kuhusu ushoga

MAAJABU YA MTANDAONI BOFYA HAPO CHINI HUTAAMINI MACHO YAKO =>
Juni 28 mwaka huu Clouds TV kupitia kipindi cha Take One kinachoendeshwa na Zamaradi Mketema kilimhoji shoga maarufu jijini Dar es Salaam hali ambayo iliibua hasira kwa watanzania wengi kutokana na jinsi shoga huyo alivyokuwa akijinadi.



Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) kupitia taarifa ya habari ya TBC, imetoa adhabu kwa Clouds TV baada ya kupokea malalamiko mengi kutoka kwa wananchi kuhusu kipindi hicho.
“Clouds Television inatakiwa kuwaomba radhi watazamaji wake na Watanzania kwa ujumla kutokana na kuwakwaza pamoja na kuwasababishia usumbufu kwa kurusha mada inayoongelea ushoga kwa namna ya upotoshaji kupitia kipindi cha Take One kulishorushwa tarehe 28 Juni 2016 . Taarifa ya kuomba radhi itoke siku tano mfululizo, kwenye taarifa zao za habari za saa moja na nusu usiku, na saa tano usiku kuanzia siku ya kusomwa hukumu ili na uthibitisho wa taarifa hizo uletwe Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania siku ya Jumatano tarehe 13 mwezi wa 7 mwaka 2016 kabla ya saa kumi jioni,” ilisema kamati ya maadili na mahudhi.
Kwa upande wa Mkurugenzi wa vipindi na uzalishaji Clouds TV, Bw. Ruge Mtahaba amesema kituo chake kitaendelea kusimamia maadili na kukemea vitendo vibaya katika jamii.
“Chochote kinachozungumzwa kuhusu maswala kama haya lazima kipigwe vita kwa namna yoyote ile, hakuna namna ya kuwa mbishi na kuingia kwenye vita ya vitu vidogo vidogo, na kama kukemea unakemea bila kunong’ona,” alisema Ruge.
[1.6MB]VIDEO CHAFU YA WANACHUO WA UDSM YAVUJA IONE HAPO CHINI =>

UNGANA NASI FACEBOOK KWA KULIKE PAGE YETU

[1.6MB]HIZI NDIZO NJIA RAHISI ZA KUMRIDHISHA MSICHANA WAKO ZIONE HAPO CHINI =>

Chapisha Maoni

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright MFUKUNYUZI | Designed By Code Nirvana
Back To Top