Featured
Loading...

Serikali Ya Uganda Kujenga Kiwanda Cha Kuchakata Mafuta Ghafi Na Kuwa Safi

MAAJABU YA MTANDAONI BOFYA HAPO CHINI HUTAAMINI MACHO YAKO =>

Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo amesema Serikali ya Uganda itajenga Kiwanda cha kuchakata mafuta ghafi na kuwa masafi (refinery)katika eneo la Kabaale katika wilaya ya Hoima nchini humo.

 Profesa Muhongo amesema hayo baada ya kutembelea eneo hilo nchini Uganda wakati wa vikao vya kujadili michakato ya ujenzi wa bomba la mafuta kutoka Kabaale - Hoima nchini humo hadi katika bandari ya Tanga nchini Tanzania.

Vilevile amesema kuwa Serikali ya Uganda imetoa jumla ya 40% ya hisa za (refinery) hiyo kwa Serikali 5 za Afrika Mashariki kabla ya Sudani kusini kujiunga.

Katika hisa hizo Tanzania imekaribishwa na kutengewa 8% za kununua hisa hizo zenye thamani ya US$150.4 Millioni. Aidha Prof. Muhongo ameishauri Serikali na Sekta Binafsi kushirikiana kununua hisa hizo.

Katika hatua nyingine ujumbe wa Tanzania na ule wa Uganda juu ya ujenzi wa bomba la mafuta umetembelea eneo la ziwa Albert na kujionea visima vilivyochorongwa tayari kwa uzalishaji wa mafuta ghafi (crude oil).

Ambapo inakadiriwa kuwepo kwa mapipa bilioni 6.5 ya akiba (reserve) na yanoyoweza kuchimbwa ni mapipa bilioni 2 (recoverable). 

Ujenzi wa Bomba la mafuta kutoka Kabaale Uganda hadi Tanga (The East African Crude Oil Pipeline ) utagharim dola za Marekani Bilioni 3.55 na litakuwa na urefu wa kilometa 1,443, na litakuwa na uwezo wa kusafirisha mapipa 200,000 kwa siku.
[1.6MB]VIDEO CHAFU YA WANACHUO WA UDSM YAVUJA IONE HAPO CHINI =>

UNGANA NASI FACEBOOK KWA KULIKE PAGE YETU

[1.6MB]HIZI NDIZO NJIA RAHISI ZA KUMRIDHISHA MSICHANA WAKO ZIONE HAPO CHINI =>

Chapisha Maoni

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright MFUKUNYUZI | Designed By Code Nirvana
Back To Top