Featured
Loading...

Msichana wa pili wa chibok aokolewa

MAAJABU YA MTANDAONI BOFYA HAPO CHINI HUTAAMINI MACHO YAKO =>
Jeshi la Nigeria limesema kuwa msichana mwingine aliyetekwa na wanamgambo wa Boko Haram zaidi ya miaka miwili iliyopita kutoka shule ya Chibok ameokolewa.
Msemaji wa Jeshi kanal S K Usman hakueleza kwa undani namna ambayo msichana huyo ambayr hakutajwa jina aliokolewa,lakini akasema patakuwa na maelezo zaidi baadae.

Siku ya Alhamisi msichana mwingine mwenye miaka 19 ambaye alifnikiwa kutoroka katika kambi ya Boko Haram, Amina Ali Nkeki,alipelekwa katika mji mkuu Abuja akiwa na mtoto wake alizaliwa wakati ametekwa, kwa ajili ya kukutana na Rais wa nchi hiyo Muhammadu Buhari.
Zaidi ya wasichana wengine mia mbili bado hawajapatikana,huku ikidhaniwa kuwa bado wanashikiliwa katika misitu ya Sambisa karibia na mpaka wa Cameroon.Gavana wa jimbo la Borno amesema kwamba jeshi la nchi hiyo limejiandaa kuwakomboa wasichana hao.
[1.6MB]VIDEO CHAFU YA WANACHUO WA UDSM YAVUJA IONE HAPO CHINI =>

UNGANA NASI FACEBOOK KWA KULIKE PAGE YETU

[1.6MB]HIZI NDIZO NJIA RAHISI ZA KUMRIDHISHA MSICHANA WAKO ZIONE HAPO CHINI =>

Chapisha Maoni

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright MFUKUNYUZI | Designed By Code Nirvana
Back To Top